-
Yeremia 50:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Pigeni kambi kumzunguka; msiache yeyote aponyoke.
Mlipeni kulingana na matendo yake.+
-
-
Yeremia 51:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Msiangamie kwa sababu ya kosa lake.
Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.
Anamlipa kulingana na matendo yake.+
-
-
Yeremia 51:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo
Kwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
-