Yeremia 23:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Na kwa manabii wa Yerusalemu nimeona mambo mabaya sana. Wanafanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+Wanawatia moyo* watenda maovu,Nao hawageuki na kuuacha uovu wao. Wote ni kama Sodoma kwangu,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+
14 Na kwa manabii wa Yerusalemu nimeona mambo mabaya sana. Wanafanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+Wanawatia moyo* watenda maovu,Nao hawageuki na kuuacha uovu wao. Wote ni kama Sodoma kwangu,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+