1 Samweli 2:7, 8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+Hushusha, naye hukweza.+ 8 Humwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;Humwinua maskini kutoka katika rundo la majivu,*+Ili awafanye wakae pamoja na wakuu,Na kuwapa kiti cha heshima. Nguzo za dunia ni za Yehova,+Naye huweka nchi inayozaa juu yake. Zaburi 75:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Kwa maana Mungu ni Mwamuzi.+ Humshusha huyu na kumkweza yule.+ Yeremia 27:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 ‘Mimi ndiye niliyeiumba dunia, wanadamu, na wanyama walio duniani kwa nguvu zangu kuu na kwa mkono wangu ulionyooshwa; nami nimempa yeyote ninayetaka.*+ Danieli 4:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+Hushusha, naye hukweza.+ 8 Humwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;Humwinua maskini kutoka katika rundo la majivu,*+Ili awafanye wakae pamoja na wakuu,Na kuwapa kiti cha heshima. Nguzo za dunia ni za Yehova,+Naye huweka nchi inayozaa juu yake.
5 ‘Mimi ndiye niliyeiumba dunia, wanadamu, na wanyama walio duniani kwa nguvu zangu kuu na kwa mkono wangu ulionyooshwa; nami nimempa yeyote ninayetaka.*+