6 “Baada ya hayo nikaendelea kuangalia, na tazama! mnyama mwingine, kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye alipewa mamlaka ya kutawala.
5 Nilipokuwa nikiendelea kuangalia, tazama! kulikuwa na mbuzi dume+ aliyekuwa akija kutoka magharibi* akivuka dunia yote bila kugusa ardhi. Na mbuzi huyo alikuwa na pembe iliyoonekana waziwazi kati ya macho yake.+