-
Danieli 7:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 “Baada ya hayo nikaendelea kutazama katika maono ya usiku, nikaona mnyama wa nne, mwenye kuogopesha na mwenye kutisha, na mwenye nguvu isivyo kawaida, naye alikuwa na meno makubwa ya chuma. Alikuwa akinyafua na kuvunjavunja, na kilichobaki alikikanyaga-kanyaga chini kwa miguu yake.+ Alikuwa tofauti na wanyama wote waliomtangulia, naye alikuwa na pembe kumi.
-
-
Danieli 7:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 “Kisha nikataka kujua mengi zaidi kuhusu yule mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti na wale wengine; alikuwa mwenye kuogopesha isivyo kawaida; alikuwa na meno ya chuma na makucha ya shaba, naye alikuwa akinyafua na kuvunjavunja, na kukanyaga-kanyaga chini kwa miguu yake kilichobaki;+
-