-
Danieli 7:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 “Kisha nikataka kujua mengi zaidi kuhusu yule mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti na wale wengine; alikuwa mwenye kuogopesha isivyo kawaida; alikuwa na meno ya chuma na makucha ya shaba, naye alikuwa akinyafua na kuvunjavunja, na kukanyaga-kanyaga chini kwa miguu yake kilichobaki;+
-
-
Danieli 7:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 “Alisema hivi: ‘Kuhusu yule mnyama wa nne, kuna ufalme wa nne utakaotokea duniani. Utakuwa tofauti na falme nyingine zote, nao utainyafua dunia yote na kuikanyaga-kanyaga chini na kuivunjavunja.+
-