-
Mwanzo 41:39Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo, hakuna yeyote aliye na busara na hekima kama wewe.
-
-
Danieli 2:28Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 Lakini kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amekujulisha wewe Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotukia katika kipindi cha mwisho cha zile siku. Hii ndiyo ndoto yako, na haya ndiyo maono yaliyokujia kichwani ulipokuwa umelala kitandani:
-