Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:39
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo, hakuna yeyote aliye na busara na hekima kama wewe.

  • Danieli 1:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Na Mungu wa kweli aliwapa vijana* hao wanne ujuzi na ufahamu wa kila aina ya maandishi na hekima; naye Danieli alipewa uwezo wa kuelewa maono na ndoto za kila aina.+

  • Danieli 2:28
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 28 Lakini kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amekujulisha wewe Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotukia katika kipindi cha mwisho cha zile siku. Hii ndiyo ndoto yako, na haya ndiyo maono yaliyokujia kichwani ulipokuwa umelala kitandani:

  • Danieli 4:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 “‘Ee Belteshaza mkuu wa makuhani wachawi,+ ninajua vema kwamba roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako,+ na hakuna siri yoyote iliyo ngumu sana kwako.+ Basi nieleze maono niliyoona katika ndoto yangu na maana yake.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki