2 Basi akawaambia: “Mnaposali, semeni, ‘Baba, jina lako na litakaswe.+ Ufalme wako na uje.+ 3 Kila siku utupatie mkate wetu kulingana na mahitaji yetu.+ 4 Na utusamehe dhambi zetu,+ kwa maana sisi pia humsamehe kila mtu aliye na deni letu;+ na usituingize katika majaribu.’”+