-
Isaya 58:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Je, kufunga ambako ninachagua kunapaswa kuwa hivi,
Siku ya mtu kujitesa,*
Kuinamisha chini kichwa chake kama utete,
Na kufanya nguo za magunia na majivu yawe kitanda chake?
Je, huko ndiko unakoita kufunga na siku inayompendeza Yehova?
-
-
Luka 18:11, 12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Yule Farisayo akasimama na kuanza kusali akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru kwa sababu mimi si kama watu wengine—wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi—au hata kama mkusanya kodi huyu. 12 Mimi hufunga mara mbili kwa juma; ninatoa sehemu ya kumi ya mapato yangu yote.’+
-