Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 2:30
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuleta wokovu+

  • Yohana 1:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu ambaye huondoa dhambi+ ya ulimwengu!+

  • Matendo 4:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina lingine+ chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo tunaweza kuokolewa.”+

  • Matendo 5:31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+

  • Waefeso 1:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.

  • Waebrania 7:25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 Basi anaweza pia kuwaokoa kikamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote yuko hai ili kuwaombea.+

  • 1 Petro 2:24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki