Marko 1:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya: “(Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele yako,* ili akutayarishie njia.)+ Yohana 1:23 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+
2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya: “(Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele yako,* ili akutayarishie njia.)+
23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+