10 Kisha akawaambia: “Taifa litapigana na taifa,+ na ufalme kupigana na ufalme.+ 11 Kutakuwa na matetemeko makubwa ya ardhi, na magonjwa na upungufu wa chakula katika sehemu mbalimbali;+ pia kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni.