Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza katika masinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja ambayo kila mtu atakayewaua+ atafikiri kwamba amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.

  • Matendo 7:59
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 59 Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”

  • Matendo 12:1, 2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Karibu na wakati huo, Mfalme Herode akaanza kuwatesa baadhi ya watu katika kutaniko.+ 2 Alimuua kwa upanga+ Yakobo ndugu ya Yohana.+

  • Ufunuo 6:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe,+ nao wakaambiwa waendelee kupumzika kwa muda mfupi, mpaka idadi itimie ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa kama vile wao walivyouawa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki