-
Mathayo 16:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Tangu wakati huo, Yesu akaanza kuwafafanulia wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kuteswa sana na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
-
-
Yohana 19:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Kisha akamkabidhi kwao ili auawe kwenye mti.+
Basi wakamchukua Yesu.
-