-
Luka 22:3-6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Ndipo Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, ambaye alikuwa mmoja wa wale 12,+ 4 naye akaenda kuongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu kuhusu jinsi atakavyomsaliti kwao.+ 5 Wakafurahishwa na jambo hilo, nao wakakubaliana kumpa fedha.+ 6 Basi akakubali na kuanza kutafuta nafasi nzuri ya kumsaliti kwao bila umati kuwapo.
-