-
Marko 14:47Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
47 Hata hivyo, mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio.+
-
-
Luka 22:50Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
50 Mmoja wao hata akampiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio la kulia.+
-
-
Yohana 18:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Simoni Petro alikuwa na upanga, basi akauchomoa na kumpiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio la kulia.+ Jina la mtumwa huyo lilikuwa Malko.
-