48 Lakini Yesu akawaambia: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi?+49 Siku baada ya siku nilikuwa nanyi nikifundisha hekaluni,+ lakini hamkunikamata. Hata hivyo, ni ili Maandiko yatimizwe.”+
52 Kisha Yesu akawauliza wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu na wazee waliokuja kumkamata: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi?+53 Nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni siku baada ya siku,+ hamkunikamata.+ Lakini huu ndio wakati wenu na mamlaka ya giza.”+