-
1 Wafalme 22:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Basi Mikaya akasema: “Ninawaona Waisraeli wote wakiwa wametawanyika milimani,+ kama kondoo wasio na mchungaji. Yehova akasema: ‘Hawa hawana bwana. Acha kila mmoja wao arudi kwa amani nyumbani kwake.’”
-
-
Ezekieli 34:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Kwa hiyo walitawanyika kwa sababu hakukuwa na mchungaji;+ walitawanyika na kuwa chakula cha kila mnyama wa mwituni.
-
-
Ezekieli 34:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 ‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “kwa sababu kondoo wangu wamekuwa windo, chakula cha kila mnyama wa mwituni, kwa sababu hapakuwa na mchungaji, nao wachungaji wangu hawakuwatafuta kondoo wangu; badala yake waliendelea kujilisha wenyewe, nao hawakuwalisha kondoo wangu,”’
-