Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa.

      Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+

      Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+

      Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+

  • Danieli 9:24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 “Kuna majuma 70* ambayo yameamuliwa kwa ajili ya watu wako na kwa ajili ya jiji lako takatifu,+ ili kukomesha uasi, kumaliza kabisa dhambi,+ kufunika makosa,+ kuleta uadilifu wa milele,+ kutia muhuri maono na unabii,*+ na kutia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.*

  • Mathayo 20:28
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Wagalatia 3:13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+

  • Tito 2:13, 14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 huku tukingojea tumaini lenye furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Yesu Kristo, 14 aliyejitoa kwa ajili yetu+ ili atuweke huru*+ kutoka katika kila namna ya uasi sheria na kujisafishia watu walio mali yake ya pekee, wenye bidii katika matendo mema.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki