Ruthu 4:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi,+ ambaye Tamari alimzalia Yuda, kupitia uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa mwanamke huyu kijana.”+ Ruthu 4:18, 19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Basi huu ndio ukoo wa* Perezi:+ Perezi alimzaa Hezroni;+ 19 Hezroni akamzaa Ramu; Ramu akamzaa Aminadabu;+ 1 Mambo ya Nyakati 2:4, 5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano. 5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+
12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi,+ ambaye Tamari alimzalia Yuda, kupitia uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa mwanamke huyu kijana.”+
18 Basi huu ndio ukoo wa* Perezi:+ Perezi alimzaa Hezroni;+ 19 Hezroni akamzaa Ramu; Ramu akamzaa Aminadabu;+
4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano. 5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+