-
Yeremia 1:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”
-
-
Waroma 9:10-12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Lakini si wakati huo tu, bali pia Rebeka alipopata mimba ya mapacha kupitia yule mwanamume mmoja, Isaka babu yetu;+ 11 kwa maana walipokuwa bado hawajazaliwa wala kufanya jambo lolote jema au baya, ili kusudi la Mungu kuhusu kuchagua liendelee kutegemea, si matendo, bali Yule ambaye huita, 12 Rebeka aliambiwa: “Mkubwa atakuwa mtumwa wa mdogo.”+
-