Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:13, 14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Kwa maana, maneno yote ya Manabii na Sheria yalitabiri hadi wakati wa Yohana;+ 14 na mkitaka kukubali, yeye ndiye ‘Eliya anayepaswa kuja.’+

  • Mathayo 17:10-12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Hata hivyo, wanafunzi wakamuuliza: “Kwa nini basi waandishi husema kwamba lazima Eliya aje kwanza?”+ 11 Akawajibu: “Kwa kweli Eliya anakuja naye atarudisha mambo yote.+ 12 Hata hivyo, ninawaambia kwamba tayari Eliya amekuja lakini hawakumtambua bali walimtendea kama walivyotaka.+ Vivyo hivyo, Mwana wa binadamu atateseka mikononi mwao.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki