-
Mathayo 4:5-7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Ndipo Ibilisi akampeleka kwenye lile jiji takatifu,+ akamsimamisha juu ya mnara* wa hekalu+ 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini, kwa maana imeandikwa: ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe,’ nao ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+ 7 Yesu akamwambia: “Tena imeandikwa: ‘Usimjaribu Yehova* Mungu wako.’”+
-