Malaki 4:5, 6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 “Tazama! Namtuma kwenu nabii Eliya+ kabla haijaja ile siku kuu ya Yehova yenye kuogopesha.+ 6 Naye ataigeuza mioyo ya akina baba iwarudie wana,+ na mioyo ya wana iwarudie akina baba, ili nisije na kuipiga dunia, na hivyo kuiangamiza.”
5 “Tazama! Namtuma kwenu nabii Eliya+ kabla haijaja ile siku kuu ya Yehova yenye kuogopesha.+ 6 Naye ataigeuza mioyo ya akina baba iwarudie wana,+ na mioyo ya wana iwarudie akina baba, ili nisije na kuipiga dunia, na hivyo kuiangamiza.”