Danieli 8:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Kisha nikasikia sauti ya mwanamume katikati ya mfereji wa Ulai,+ akaita kwa sauti kubwa: “Gabrieli,+ mweleweshe mtu huyo mambo aliyoona.”+ Luka 1:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema.
16 Kisha nikasikia sauti ya mwanamume katikati ya mfereji wa Ulai,+ akaita kwa sauti kubwa: “Gabrieli,+ mweleweshe mtu huyo mambo aliyoona.”+
19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema.