Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

  • Mathayo 5:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+

  • Luka 11:47
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 47 “Ole wenu, kwa sababu mnajenga makaburi* ya manabii ambao mababu zenu waliwaua!+

  • Matendo 7:52
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua wale waliotangaza mapema kuhusu kuja kwa yule mwadilifu,+ ambaye ninyi mmemsaliti na kumuua,+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki