-
Luka 13:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 “Jitahidini sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu ninawaambia wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
-
-
Waroma 2:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Kwa maana wale wanaosikia sheria sio waadilifu mbele za Mungu, bali wale wanaoshika sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+
-