-
Mathayo 14:33Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
33 Ndipo wale waliokuwa ndani ya mashua wakamsujudia* wakisema: “Kwa kweli wewe ni Mwana wa Mungu.”
-
-
Yohana 1:32Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+
-
-
Yohana 1:34Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
34 Mimi nimeona, nami nimetoa ushahidi kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.”+
-
-
Yohana 20:31Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+
-