-
Mathayo 9:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Ninataka rehema, si dhabihu.’+ Kwa maana sikuja kuwaita waadilifu, bali watenda dhambi.”
-
-
Mathayo 15:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Yesu akajibu: “Sikutumwa kwa yeyote isipokuwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.”+
-
-
Luka 15:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 “Ikiwa mmoja wenu ana kondoo 100, naye ampoteze mmoja, je, hatawaacha wale 99 nyikani aende kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate?+
-
-
Waroma 5:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini Mungu hupendekeza upendo wake kwetu kwa kuwa tulipokuwa bado watenda dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.+
-