28 “Basi jifunzeni mfano huu kutokana na mtini: Mara tu matawi yake machanga yanapokuwa laini na kuchipua majani, mnajua kwamba kiangazi kinakaribia.+ 29 Vivyo hivyo, ninyi pia mtakapoona mambo hayo yakitukia, jueni kwamba yuko karibu, yuko mlangoni.+