Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:42
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui Bwana wenu atakuja siku gani.+

  • Marko 13:35
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 35 Kwa hiyo, endeleeni kukesha, kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani,+ iwe ni jioni, usiku wa manane, kabla ya alfajiri,* au asubuhi na mapema,+

  • Ufunuo 6:16, 17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka kwenye uso wa Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwanakondoo,+ 17 kwa sababu siku kuu ya ghadhabu yao imekuja,+ na ni nani anayeweza kusimama?”+

  • Ufunuo 16:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asije akatembea uchi na watu waitazame aibu yake.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki