-
Mambo ya Walawi 23:5-8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.
6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+ 7 Siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu. 8 Lakini kwa siku saba mtamtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto. Siku ya saba kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.’”
-
-
Luka 22:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Siku ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu ikafika, siku ambayo dhabihu ya Pasaka hutolewa;+
-