Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:5-8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.

      6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+ 7 Siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu. 8 Lakini kwa siku saba mtamtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto. Siku ya saba kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.’”

  • Luka 22:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Siku ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu ikafika, siku ambayo dhabihu ya Pasaka hutolewa;+

  • Yohana 13:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki