-
Mathayo 26:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Wakiwa wamehuzunishwa sana na jambo hilo, kila mmoja wao akaanza kumuuliza: “Bwana, je, ni mimi?”
-
-
Marko 14:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine: “Je, ni mimi?”
-
-
Yohana 13:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Wanafunzi wakaanza kutazamana, bila kujua alikuwa akisema kuhusu nani.+
-