Danieli 7:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Luka 12:32 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 32 “Msiogope, ninyi kundi dogo,+ kwa sababu Baba yenu amekubali kuwapa Ufalme.+ 2 Timotheo 2:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+ Waebrania 12:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Yakobo 2:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+ Ufunuo 1:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, na awe na utukufu na nguvu milele. Amina.
12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+
6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, na awe na utukufu na nguvu milele. Amina.