9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
7 Sasa akawaita wale 12 akaanza kuwatuma wawili wawili,+ naye akawapa mamlaka juu ya roho waovu.+8 Pia, akawaagiza wasibebe chochote kwa ajili ya safari isipokuwa fimbo—wasibebe mkate, mfuko wa chakula, wala pesa* kwenye mishipi yao+— 9 bali wavae viatu lakini wasivae mavazi mawili.*
2 Kisha akawatuma kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu na kuponya, 3 akawaambia: “Msibebe chochote kwa ajili ya safari, wala fimbo wala mfuko wa chakula wala mkate wala pesa;* wala msiwe na mavazi mawili.*+