Mathayo 26:30 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 30 Mwishowe, baada ya kuimba sifa,* wakaenda kwenye Mlima wa Mizeituni.+ Marko 14:26 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 26 Mwishowe, baada ya kuimba sifa,* wakaenda kwenye Mlima wa Mizeituni.+ Yohana 18:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+
18 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+