Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Mathayo 26:39
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 39 Akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:+ “Baba yangu, ikiwa inawezekana, niondolee kikombe hiki.+ Lakini, si kama ninavyopenda, bali kama unavyopenda.”+

  • Marko 14:36
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 36 Naye akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si kama ninavyotaka, bali unavyotaka.”+

  • Yohana 5:30
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 30 Siwezi kufanya jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe. Kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu yangu ni ya uadilifu+ kwa sababu sitafuti mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+

  • Yohana 6:38
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 38 kwa maana sikushuka kutoka mbinguni+ kufanya mapenzi yangu, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki