7 “Haruni+ atafukiza uvumba wenye manukato+ juu ya madhabahu hiyo+ kila asubuhi anaposhughulikia taa.+ 8 Pia, Haruni anapowasha taa jioni kabla ya giza kuingia, atafukiza uvumba. Ni uvumba unaofukizwa kwa ukawaida mbele za Yehova katika vizazi vyenu vyote.