26 Kwa maana tukiendelea kutenda dhambi kimakusudi baada ya kupokea ujuzi sahihi wa kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+ 27 bali kuna tarajio hakika linaloogopesha la hukumu na hasira inayowaka itakayowaangamiza wale wanaopinga.+