-
Marko 6:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Lakini Yesu akawaambia: “Nabii anaheshimiwa kila mahali isipokuwa katika eneo lake la nyumbani na kati ya watu wake wa ukoo, na katika nyumba yake mwenyewe.”+
-
-
Luka 4:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Basi akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia hakuna nabii anayekubaliwa katika eneo la nyumbani kwao.+
-