-
Mathayo 14:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Baada ya kuuaga umati, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ilipofika jioni, alikuwa peke yake huko.
-
-
Marko 6:45Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
45 Kisha, bila kukawia, akawaagiza wanafunzi wake wapande mashua watangulie kuelekea Bethsaida ng’ambo ya bahari, huku yeye akiuaga umati.+
-