-
Zaburi 118:25, 26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Yehova, tuokoe, tafadhali, tunakusihi!
Yehova, tupe ushindi, tafadhali!
26 Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova;+
Tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yehova.
-