-
Mathayo 21:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Wengi katika umati wakatandaza mavazi yao ya nje barabarani,+ na wengine wakakata matawi ya miti na kuyatandaza barabarani. 9 Isitoshe umati uliomtangulia na wale waliomfuata waliendelea kupaza sauti: “Tunaomba umwokoe, Mwana wa Daudi!+ Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!*+ Tunaomba umwokoe, katika vilele vilivyo juu!”+
-
-
Yohana 1:49Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
49 Nathanaeli akamwambia: “Rabi, wewe ni Mwana wa Mungu, wewe ni Mfalme wa Israeli.”+
-