Yohana 19:38 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 38 Baada ya mambo hayo Yosefu wa Arimathea, aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu lakini kwa siri kwa sababu aliwaogopa Wayahudi,+ akamwomba ruhusa Pilato ili auondoe mwili wa Yesu, naye Pilato akamruhusu. Basi akaja na kuuondoa mwili huo.+
38 Baada ya mambo hayo Yosefu wa Arimathea, aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu lakini kwa siri kwa sababu aliwaogopa Wayahudi,+ akamwomba ruhusa Pilato ili auondoe mwili wa Yesu, naye Pilato akamruhusu. Basi akaja na kuuondoa mwili huo.+