-
Kutoka 12:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Siku hiyo itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mnapaswa kuisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Kwa kuwa ni sheria ya kudumu, mnapaswa kuisherehekea.
-
-
Hesabu 28:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 “Siku ya 14 ya mwezi wa kwanza, itakuwa Pasaka ya Yehova.+
-
-
Yohana 11:55Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
55 Sasa Pasaka+ ya Wayahudi ilikuwa karibu na watu wengi kutoka mashambani walipanda kwenda Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wajitakase kisherehe.
-