Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:59-61
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 59 Sasa wakuu wa makuhani na Sanhedrini yote walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo dhidi ya Yesu ili wamuue.+ 60 Lakini hawakupata, ingawa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye, mashahidi wawili wakajitokeza 61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga kwa siku tatu.’”+

  • Mathayo 27:39, 40
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 39 Na wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana,+ huku wakitikisa vichwa vyao+ 40 wakisema: “Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ jiokoe mwenyewe! Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, shuka kutoka kwenye mti wa mateso!”*+

  • Marko 14:57, 58
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 57 Pia, wengine walikuwa wakisimama na kutoa ushahidi wa uwongo kumhusu, wakisema: 58 “Tulimsikia akisema, ‘Nitaliangusha chini hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine ambalo halijajengwa kwa mikono.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki