-
Yohana 7:50-52Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
50 Nikodemo, aliyekuwa amemwendea hapo mwanzoni, na ambaye pia alikuwa mmoja wao akawaambia: 51 “Kulingana na Sheria yetu, kabla ya kumhukumu mtu, tunapaswa kumsikiliza ili tujue anachofanya, sivyo?”+ 52 Wakamjibu: “Je, wewe pia umetoka Galilaya? Chunguza uone kwamba hakuna nabii atakayeinuliwa kutoka Galilaya.”*
-