33 Hata mimi sikumjua, bali Yule aliyenituma nikabatize katika maji aliniambia: ‘Yeyote ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake,+ huyo ndiye anayebatiza kwa roho takatifu.’+ 34 Mimi nimeona, nami nimetoa ushahidi kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.”+