2 Wakorintho 11:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Kwa maana nina wivu juu yenu, wivu wa kimungu,* kwa kuwa mimi binafsi niliwachumbia mume mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi* kwa Kristo.+ Waefeso 5:25 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Ufunuo 21:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho+ akaja na kuniambia: “Njoo, nami nitakuonyesha bibi harusi, mke wa Mwanakondoo.”+
2 Kwa maana nina wivu juu yenu, wivu wa kimungu,* kwa kuwa mimi binafsi niliwachumbia mume mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi* kwa Kristo.+
9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho+ akaja na kuniambia: “Njoo, nami nitakuonyesha bibi harusi, mke wa Mwanakondoo.”+