-
Danieli 8:1, 2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza,+ mimi, Danieli, niliona maono, baada ya yale niliyoona mwanzoni.+ 2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.
-